KAMATI ya Nidhamu ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) kupitia kwa Ofisa Habari wa TFF, imetangaza kumfungia mechi tatu mchezaji wa Yanga Abdalah Shaibu "Ninja'.
Kwa mujibu wa Ofisa Habari wa TFF, Clifford Mario Ndimbo, amesema Kamti hiyo imefikia maamuzi hayo baada ya kumchezea rafu kwa kumpiga kiwiko mchezaji wa Coastal Union.
Ninja alimpiga kiwiki mchezaji wa Coastal Union katika mchezo wa Ligi Kuu Bara uliochezwa Uwanja wa Mkwakwani Tanga Februari 2, 2019 na kumalizika kwa sare ya mabao 1-1.
Licha ya adhabu hiyo kutolewa, Ninja aliitwa kwenye kamati kwa ajili ya mahojiano wiki kadhaa zilizopita na kukiri kuwa alitenda kosa hilo kisha kuomba msamaha.
Hata hivyo Kamati hiyo imesema Ninja na Yanga wanayo haki ya kukata rufaa kwani ipo wazi.
Post Top Ad
Responsive Ads Here
NINJA APIGWA RUNGU LA MECHI 3 KISA KIWIKO, TFF YATOA TAMKO HILI KUHUSU RUFAA
Share This
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Bottom Ad
Responsive Ads Here
Author Details
Templatesyard is a blogger resources site is a provider of high quality blogger template with premium looking layout and robust design. The main mission of templatesyard is to provide the best quality blogger templates which are professionally designed and perfectlly seo optimized to deliver best result for your blog.
Post Top Ad



No comments:
Post a Comment