Video: Familia yatoa ratiba rasmi mazishi ya Ruge Mutahaba - TASMARA1

TAWI LA SIMBA SPORTS CLUB MKOANI MARA

TASMARA - TASMARA - TASMARA

AHSANTE SANA NA KARIBU TASMARA

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Video: Familia yatoa ratiba rasmi mazishi ya Ruge Mutahaba

Share This
Familia hiyo imesema kuwa mwili wa Marehemu unatarajiwa kuwasili katika uwanja wa ndege wa Mwalimu Julius Nyerere jijini Dar es salaam siku ya Ijumaa jioni kutokea nchini Afrika Kusini kisha utaagwa katika viwanja vya Karimjee jijini Dar es salaam kabla ya kusafirishwa kwenda mkoani Kagera kwa mazishi.
Taarifa hizo zimeeleza kuwa mwili wa Ruge Mutahaba utasafirishwa siku ya Jumapili kuelekea Bukoba mkoani Kagera kwa ajili ya mazishi yatakayofanyika siku ya Jumatatu.
Ruge Mutahaba amefariki dunia juzi akiwa hospitalini nchini Afrika Kusini alipokuwa akipatiwa matibabu kutokana na kusumbuliwa na tatizo la figo.
Mungu amrehemu.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here