Uongozi wa Simba kusaka msaidizi wa Patrick Aussems - TASMARA1

TAWI LA SIMBA SPORTS CLUB MKOANI MARA

TASMARA - TASMARA - TASMARA

AHSANTE SANA NA KARIBU TASMARA

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Uongozi wa Simba kusaka msaidizi wa Patrick Aussems

Share This



Simba:

Wakati Mbelgiji Patrick Aussems akihaha kwenye benchi la ufundi kama Kocha Mkuu pekee kwa takribani miezi minne sasa, imeelezwa uongozi wa klabu hiyo umeanza harakati za kusaka msaidizi wake.

   Taarifa za ndani ya Simba zinasema uongozi umeamua kumpata mtu atakayemsaidia Aussems kutimiza majukumu kwani amekuwa akifanya peke yake kwa muda mrefu tangu kuondoka kwa Masoud Djuma.

   Ifuatayo ni orodha ya Makocha ambao wanapigiwa upatu na Simba ili kuungana na Aussems kwenye benchi la ufundi.

1. Seleman Matola (Lipuli FC)

2. Ettiene Ndayiragije (KMC)

3. Amri Said Stam (Biashara United)
4. Juma Mgunda (Coastal Union)

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here