Serikali yamaliza sakata la makontena yaliyokwama Bandarini Dar - TASMARA1

TAWI LA SIMBA SPORTS CLUB MKOANI MARA

TASMARA - TASMARA - TASMARA

AHSANTE SANA NA KARIBU TASMARA

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Serikali yamaliza sakata la makontena yaliyokwama Bandarini Dar

Share This





Serikali imetatua kadhia ya makontena ya wafanyabiashara wa DRC kukwama Bandarini, Dar es Salaam na sasa makontena hayo yameanza kutoka Bandarini.

Waziri Kamwelwe amesema makontena hayo yalizuiwa baada ya kujitokeza tena tuhuma za baadhi ya wa wafanyabiashara kubakiza nchini bidhaa zilizopaswa kwenda nje ya nchi.














No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here