Hii ndiyo ratiba ya mechi zijazo kwa Simba SC kabla ya kukutana na Waalgeria - TASMARA1

TAWI LA SIMBA SPORTS CLUB MKOANI MARA

TASMARA - TASMARA - TASMARA

AHSANTE SANA NA KARIBU TASMARA

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Hii ndiyo ratiba ya mechi zijazo kwa Simba SC kabla ya kukutana na Waalgeria

Share This








Ratiba ya mechi zijazo za Simba SC, itakayo chuana na timu tofauti katika michuano ya  Ligi Kuu Bara

Jumanne, 19 February 2019
African Lyon vs Simba SC ( Arusha)

Ijumaa, 22 February 2019 "Big Match"
Azam FC vs Simba SC ( Taifa)

Jumanne , 26 February 2019
Lipuli FC vs Simba SC ( Samora )

Jumapili , 03 March 2019
Stand United vs Simba SC (Kambarage)

Baada ya michezo hiyo klabu ya Simba bila kuchelewa itarudi jijini Dar es Ssalaam tayari kwa maandalizi ya kuelekea nchini Algeria ambapo tarehe 09 Machi 2019 itashuka dimbani kukipiga na JS Saoura katika mchezo wa Klabu Afrika (CAfchampionLeague) saa 4 usiku.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here