Mwadui FC imekubali kuchapwa bao moja kwa bila na Yanga Uwanja wa Kambarage. Bao limefungwa na Balama Mapinduzi dakika ya sita
Coastal Union iliyo chini ya Kocha Mkuu, Juma Mgunda imelazimisha sare ya kibabe ya kufungana mabao 2-2 na Namungo FC, Uwanja wa Mkwakwani, Tanga.
Coastal Union iliyo chini ya Kocha Mkuu, Juma Mgunda imelazimisha sare ya kibabe ya kufungana mabao 2-2 na Namungo FC, Uwanja wa Mkwakwani, Tanga.



No comments:
Post a Comment