Mabingwa watetezi wa Ligi kuu Tanzania Bara Simba SC wamepata ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya African Lyon katika mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara uliopigwa leo kwenye Uwanja wa Sheikh Amri Abeid Jijini Arusha. Simba imepata mabao yake kupitia kwa John Bocco aliyefunga mawili dakika ya 28 kwa penati na dakika ya 46, huku bao lingine likifungwa na Adam Salamba dakika ya 45+2. Matokeo hayo yanaifanya Simba kufikisha pointi 42 ikiendelea kubaki nafasi ya tatu nyuma ya Azam FC wenye pointi 50 na kileleni bado yupo Yanga akiwa na pointi 58. Kwa upande wao African Lyon wamesalia mkiani wakiwa na pointi 21 katika michezo 27 waliyocheza.
Post Top Ad
Responsive Ads Here
AFRICAN LYON 0-3 SIMBA SC
Share This
Mabingwa watetezi wa Ligi kuu Tanzania Bara Simba SC wamepata ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya African Lyon katika mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara uliopigwa leo kwenye Uwanja wa Sheikh Amri Abeid Jijini Arusha. Simba imepata mabao yake kupitia kwa John Bocco aliyefunga mawili dakika ya 28 kwa penati na dakika ya 46, huku bao lingine likifungwa na Adam Salamba dakika ya 45+2. Matokeo hayo yanaifanya Simba kufikisha pointi 42 ikiendelea kubaki nafasi ya tatu nyuma ya Azam FC wenye pointi 50 na kileleni bado yupo Yanga akiwa na pointi 58. Kwa upande wao African Lyon wamesalia mkiani wakiwa na pointi 21 katika michezo 27 waliyocheza.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Bottom Ad
Responsive Ads Here
Author Details
Templatesyard is a blogger resources site is a provider of high quality blogger template with premium looking layout and robust design. The main mission of templatesyard is to provide the best quality blogger templates which are professionally designed and perfectlly seo optimized to deliver best result for your blog.
Post Top Ad


No comments:
Post a Comment